Nywele za Beyonce zang'ang'ania kwenye feni wakati wa show ya Mrs Carter World Tour
Star
kutoka Hollywood, Beyonce (31) alibaki akiwa amekaa kwenye stage huku
akiendelea kuimba licha ya nywele zake kujiviringisha kwenye feni
lililokuwa juu ya stage alipokuwa aki-perform (Mrs Carter World Tour) July,22 Montreal, Canada. Janga hilo lilimkuta alipokuwa akiimba
wimbo wake "Hello", ndipo wasaidizi wake pamoja na baunsa walisogea
kumsaidia ambapo walifanikiwa kumtoa baada ya kuzikata na mkasi.
Licha ya tukio hilo kumtokea Beyonce aliandika utani juu ya kilichomtokea kupitia mtandao wa Instagram.
"Gravity
cant begiiiiiiiin to pull me out of the fan again. I felt my hair was
yankiiiiiiiin, From the fan that's always hatiiiiiiiin. Virgin Remy
[and] Malaysiiiiiiaaaaaan haaaaaaaaa!! I got snatched "2 snaps."
Goodnight all, B,"
No comments:
Post a Comment