mwasiti amesema
MULLAH™
Aug 24, 2013
Baada ya Ney Wa Mitego kusema kuwa Kigoma All Stars imekufa, Mwasiti nae asema yake
mwasiti amesema
Baada ya Ney wa Mitego kumchana, Madam Rita ampa big up na kumkaribisha ku-perform kwenye fainali za BSS
Kupitia U Heard na Gossip Cop
Friday, August 23, 2013 madam Rita aliongea juu ya tetesi kuwa yupo katika mipango ya kumfungulia mashtaka Ney na kumdai amlipe shilingi millioni 500 pamoja na ku-record album nzima kwa kumsafisha jina lake baada ya kumchafulia.
Jul 29, 2013
MSHIRIKI WA TANZANIA (NANDO ) ATIMULIWA BIG BROTHER BAADA YA KUGOMBANA NA MSHIRIKI MWENZAKE
Mshiriki
wa Tanzania katika shindano la bba, Nando ametimuliwa katika
shindano hilo baada ya kugombana na mshiriki mwenzake Elikem wa
Ghana siku ya ijuumaa ya tarehe 26/7/2013...
Mara tu baada ya Sulu na Annabel kutolewa kwa kura za watazamaji,
Big Brother aliwaita washiriki pamoja katika kikao cha dharura kufuatia
ugomvi uliotokea kati ya Nando na Elikem.
Jul 25, 2013
MAMA WA MAREHEMU SHAROMILIONEA ALIA KUDHURUMIWA MALI ZA MWANAYE...!!
Mama mzazi wa Marehem msanii wa bongo movie (comedy) na Bongo Flava Sharomilionea amefunguka kuwa mpaka leo anashangaa hajakabidhiwa baadhi ya vitu vya thamani alivyokua akimiliki mtoto wake kipindi yuko hai, na tayari imeshapita miezi 8 tangu Sharomilionea afariki kutokana na Ajali ya Gari aliyoipata mwaka jana mwezi wa kumi na moja mita chache kabla hajafika kijijini kwa Lusungu Muheza Tanga,
Subscribe to:
Posts (Atom)