Jul 29, 2013

MSHIRIKI WA TANZANIA (NANDO ) ATIMULIWA BIG BROTHER BAADA YA KUGOMBANA NA MSHIRIKI MWENZAKE


Mshiriki wa Tanzania katika shindano la bba, Nando  ametimuliwa  katika  shindano hilo baada  ya  kugombana  na  mshiriki  mwenzake  Elikem wa Ghana  siku  ya  ijuumaa  ya  tarehe 26/7/2013...
Mara tu baada ya Sulu na Annabel kutolewa kwa kura za watazamaji, Big Brother aliwaita washiriki pamoja katika kikao cha dharura kufuatia ugomvi uliotokea kati ya Nando na Elikem.

Jul 25, 2013

MAMA WA MAREHEMU SHAROMILIONEA ALIA KUDHURUMIWA MALI ZA MWANAYE...!!

 



Mama mzazi wa Marehem msanii wa bongo movie (comedy) na Bongo Flava Sharomilionea amefunguka kuwa mpaka leo anashangaa hajakabidhiwa baadhi ya vitu vya thamani alivyokua akimiliki mtoto wake kipindi yuko hai, na tayari imeshapita miezi 8 tangu Sharomilionea afariki kutokana na Ajali ya Gari aliyoipata mwaka jana mwezi wa kumi na  moja mita chache kabla hajafika kijijini kwa Lusungu Muheza Tanga,

Nywele za Beyonce zang'ang'ania kwenye feni wakati wa show ya Mrs Carter World Tour

Star kutoka Hollywood, Beyonce (31) alibaki akiwa amekaa kwenye stage huku akiendelea kuimba licha ya nywele zake kujiviringisha kwenye feni lililokuwa juu ya stage alipokuwa aki-perform (Mrs Carter World Tour) July,22 Montreal, Canada. Janga hilo lilimkuta alipokuwa akiimba wimbo wake "Hello", ndipo wasaidizi wake pamoja na baunsa walisogea kumsaidia ambapo walifanikiwa kumtoa baada ya kuzikata na mkasi. 

Licha ya tukio hilo kumtokea Beyonce aliandika utani juu ya kilichomtokea kupitia mtandao wa Instagram.
"Gravity cant begiiiiiiiin to pull me out of the fan again. I felt my hair was yankiiiiiiiin, From the fan that's always hatiiiiiiiin. Virgin Remy [and] Malaysiiiiiiaaaaaan haaaaaaaaa!! I got snatched "2 snaps." Goodnight all, B,"

Jul 23, 2013

WEMA JELA INAMUITA!

Kuna kila dalili kwamba mrembo anayetamba kwenye filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ au Madam jela inamwita na anatakiwa kufanya maombi ili kukwepa kifungo maishani mwake.

Jul 22, 2013

LINAH AKANUSHA MADAI YA KUBAKWA USIKU BAADA YA KULEWA

 

Mrembo na mwanamuziki wa kike nchini, Linah Sanga amezikanusha ripoti zilizosambazwa kwenye mitandao kuwa amebakwa na rapper Kimbunga na kudai kuwa ameshangazwa mno na taarifa hizo.
Taarifa hizo zimeanza kusambazwa leo mchana baada ya akaunti ya Facebook inayoonekana kuwa ya rapper Kalapina yenye jina ‘KalApina Kikosi Cha Mizinga’ kuandika:

Jul 20, 2013

MSANII MR. BOMBA ALIYETAMBA SANA KUPITIA I.T.V, AFARIKI DUNIA



Msanii wa zamani wa Kundi la Kaole Sanaa. Mr Bomba amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na kansa ya uvimbe wa kwenye ini. Msiba utakuwa Buguruni Malapa jijini Dar es salaam nyumbani kwa marehemu alipokuwa akiishi. Mwili utaagwa siku ya Jumatatu nyumbani kwake Buguruni na kusafirishwa kijijini kwao Mpwapwa Dodoma siku hiyo ya Jumatatu kwa mazishi. 

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALAPEMA PEPONI....AMEN!

Wastara Juma, alalamikia marafiki wasaliti wa marehemu mumewe.




Sura ya mauzo kunako gemu la filamu za Kibongo, Wastara Juma amefunguka kuwa wanaume wengi waliokuwa wakimsaidia wakati mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’ akiwa mgonjwa wanamgeuka na sasa wanamtaka kimapenzi.

Jul 17, 2013

PREZZO AGOMA KUMUOMBA MSAMAHA DIAMOND KWENYE TWITTER

Utata wa Diamond na Prezzo unazidi kuvuka Bodaa..
Rapcellency, Prezzo amesema hawezi kumuomba msamaha Diamond kwenye Twitter kwakuwa anaamini hakuna alichomkosea na ni jambo la kitoto.

Jul 14, 2013

Jay-Z's new Album Cover

Jay-Z's new album, Magna Carta Holy Grail
Until today, no one had yet identified the source image for Jay-Z's new album, Magna Carta Holy Grail, but the Metropolitan Museum of Art just tweeted the image above, naming the sculpture Alpheus and Arethusa by Battista di Domenico Lorenzi (Italian, ca. 1527/28–1594) as the rapper's inspration. The sculpture is a depiction of a Greek myth about the nymph Arethusa who is pursued by the river god Alpheus. In attempt to escape her pursuer, Arethusa transforms into a stream. Maybe Jay-Z is referencing his own transformation from hustler to rapper to performance artist, or maybe he just spotted the sculpture at the Met and thought it would look good as an album cover. Your guess is as good as ours.

Jay-Z Talks Fatherhood, "Yeezus," Miley Cyrus And "Watch The Throne 2" On Hot 97

After taking over Twitter, Jay-Z took to the airwaves on The Angie Martinez Show to discuss fatherhood, his thoughts on Kanye West's Yeezus and his admiration for Miley Cyrus, among other items.
On how he was affected by his parents splitting up: "They were together my early years, till I was 9 or something. That's what made it worse, because I knew. Some people don't even get to feel that sort of love at all so you can't miss what you don't have. It's still this empty feeling. There's more of an empty feeling having it, then having it taken away from you." On being a father: “[It's] just more reaffirming the things that’s really important in life and editing your life in such a way that you don’t have anything that’s distracting you. Anything that’s taking away from that time you should be with your child.” On CNN being TMZ: "CNN is almost like TMZ. Certain things it’s like, aww man, this is really just entertainment. It’s really all for ratings. And you squeeze a bit of information in there." On Miley Cyrus' new musical style: "She's fearless, just being herself and expressing herself. I think it's more a reaction of people wanting her to be Hannah Montana. Just watching the situation, people want her to be something and she's like, 'I'm not that. I was 6-years-old, they want me to be 6-years-old forever.' That must be really frustrating, and this is her reaction to it." On Yeezus: “I love it...It’s polarizing because it’s art. That’s what art is; it forces you to have an opinion. What’s good for the genre is [Yeezus] pushes it forward." On the possibility of Watch The Throne 2: "Yeah. Hopefully, yeah. It hasn't begun." On his relationship with Dame Dash: "We created something that’s going to go down forever, so I can only have love for Dame. I just don’t know where we are in our life. We’re not the same two men at that time when we gelled in that way. I haven’t seen him in a while. I have ultimate confidence in him that he’ll find his way because he’s an amazing and smart guy."

Jul 12, 2013

Gerry wa Rhymes - Lovely (Official Music Video)

Angalia sasa kazi saafi ya kijana Gerry wa Rhymes inayoitwa Lovely, daah eeeh sasa na sis tunawezaaaa! chek it out..

Izzo Bizness ft Barnaba & Shaa - Love Me(Official Video)

Check out that new Video from ma Boy Izzo Bizness Beby, design pale kati kasimama na mtu mzima Barnaba Bwoy na Mwanadada Shaa wanakwambia Love me.Ooo! Come Ooon yo already know what it isSS...